Isaiah 40:12


12 aNi nani aliyepima maji ya bahari
kwenye konzi ya mkono wake,
au kuzipima mbingu kwa shibiri
Shibiri ni sawa na sentimita 20 au inchi 8.
yake?
Ni nani aliyeyashika mavumbi ya dunia katika kikapu,
au kupima milima kwenye kipimio
na vilima kwenye mizani?
Copyright information for SwhNEN